Orijino Komedi
22.04.2013 | 9:07 AM
Ungekuwa wewe ni ndugu wa huyu jamaa ungefanyaje?

Mtu mmoja aliyekua akiumwa sana na kulazwa hospitalini huku akitumia mirija maalumu kupata hewa, alitembelewa na pastor kwa ajili ya maombi. Katikati ya maombi kwakuwa mgonjwa alikuwa hawezi kuongea akachukua kikaratasi na peni akaandika kitu na kumpa Pastor,sababu pastor alijifanya busy na maombi akakiweka mfukoni bila kukisoma, mara mgonjwa akafa. Kwenye mazishi pastor akakitoa kile [...]

-Read more
17.04.2013 | 6:34 PM
Cha Jioni: Amini Ipo Siku

Wakati wa ujana wake, mke wa sasa wa Rais wa Marekani ambaye ndiye 1st Lady Michele Obama aliwahi kupangiwa chumba kimoja chuoni na binti wa kizungu. Mama yake binti wa kizungu akakasirika sana binti yake kupangiwa chumba kimoja na msichana mweusi na akaomba uongozi wa chuo umuondoe Michele katika chumba kile. Kweli Michele akaondolewa lakini [...]

-Read more